HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

November 08, 2017

WAZIRI MHAGAMA AKUTANA NA WADAU WA MASUALA YA AJIRA NA UKUZAJI UJUZI

 Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira na Vijana), Mhe. Antony Mavunde akichangia hoja kuhusu namna bora ya kuwawezesha vijana kujikwamua kiuchumi wakati wa kikao cha Kujadili masuala ya Ajira na Ukuzaji Ujuzi Novembna 7, 2017 Dodoma.
 Mkurugenzi Mtendaji wa TPSF Bw .Geodfrey Simbeye akisisitiza jambo wakati wa Kikao cha pamoja na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Ajira na Watu wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama akisisitiza jambo kwa wajumbe wa Kikao cha kujadili masuala ya Ajira na Ukuzaji Ujuzi.
 Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Ajira na Watu wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama akisisistiza jambo kwa wajumbe wa Kikao cha wadau wa masuala ya Ajira na Ukuzaji Ujuzi kilichofanyika Mjini Dodoma Novemba 7, 2017.
Meneja wa Maendeleo ya Biashara na Huduma Bi Jane Gonsalves akichangia hoja kuhusu mikakati ya Serikali kuwawezesha Vijana kupata ajira na kujiajiri wakati wa kikao cha kujadili masuala ya Ajira na Ukuzaji Ujuzi leo Dodoma.
(PICHA ZOTE NA OFISI YA WAZIRI MKUU–DODOMA).

No comments:

Post a Comment

Pages