HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

October 11, 2019

DKT. MAGUFULI AWEKA JIWE LA MSINGI MRADI MKUBWA WA UMEME MKOANI KATAVI

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wanafunzi wa Isukumilo na Mpanda Sekondari wakati akielekea Wilaya Mpya ya Tanganyika.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwasalimia wananchi na wafanyakazi wa Tanesco mara baada ya kuweka la msingi  mradi wa umeme wa kuunganisha mkoa wa Katavi kwenye Gridi ya Taifa kwa njia ya msongo wa Kilovolti 132 kutoka mkoani Tabora katika sherehe fupi zilizofanyika nje kidogo ya manispaa ya Mpanda.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwasalimia wananchi na wafanyakazi wa Tanesco mara baada ya kuweka la msingi  mradi wa umeme wa kuunganisha mkoa wa Katavi kwenye Gridi ya Taifa kwa njia ya msongo wa Kilovolti 132 kutoka mkoani Tabora katika sherehe fupi zilizofanyika nje kidogo ya manispaa ya Mpanda.

  Wanakwaya ya Agape wakitumbuiza katika uwanja wa Azimio Mpanda mkoani Katavi mara baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli kuwasili uwanjani hapo.
Kwaya ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari Mpanda Girls wakitumbuiza mara baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli kuwasili uwanjani hapo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Mkewe Mama Janeth Magufuli, Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani, Viongozi wa Mkoa wa Katavi, Mawaziri pamoja na Wabunge akivuta  utepe kuashiria uwekaji wa jiwe la msingi  mradi wa umeme wa kuunganisha mkoa wa Katavi kwenye Gridi ya Taifa kwa njia ya msongo wa Kilovolti 132 kutoka mkoani Tabora katika sherehe fupi zilizofanyika nje kidogo ya manispaa ya Mpanda.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimpongeza Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani mara baada ya kuweka la msingi  mradi wa umeme wa kuunganisha mkoa wa Katavi kwenye Gridi ya Taifa kwa njia ya msongo wa Kilovolti 132 kutoka mkoani Tabora katika sherehe fupi zilizofanyika nje kidogo ya manispaa ya Mpanda. (Picha na Ikulu).

No comments:

Post a Comment

Pages