HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

January 11, 2023

BIASHARA YA MAKAA YA MAWE ILIVYOSHAMIRI RUVUMA,ZAIDI YA TANI MILIONI MOJA ZAUZWA NJE KWA MIEZI SITA


Waziri Mkuu Mheshmiwa Kassim Majaliwa  alipotembelea na kukagua kampuni ya Jitegemee Holding inayochimba makaa ya mawe katika kijiji cha Ntunduwaro Kata ya Ruanda wilayani Mbinga na kuridhishwa na kushamiri kwa biashara ya makaa ya mawe mkoani Ruvuma.

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Laban Thomas akizungumza na wafanyakazi wa Kampuni ya Jitegemee katika  eneo la mauzo ya makaa ya mawe bandari ya nchi kavu kijiji cha  Paradiso wilaya ya Mbinga.

Mgodi wa makaa ya mawe wa Kampuni ya Jitegemee Holding katika kijiji cha Ntunduwaro  wilayani Mbinga.

 


No comments:

Post a Comment

Pages