HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

January 24, 2023

TANZANIA COMMERCIAL BANK YAIPIGA JEKI SEKTA YA ELIMU YATOA MSAADA WA MIFUKO 150 YA CEMENT KUBORESHA MADARASA

 

Meneja wa Benki ya Tanzania Commercial Bank (TCB) Tawi la Mbagala Edward Mwoleka, (wa tatu kulia), akikabidhi sehemu ya msaada wa mifuko 150 ya Cement,  kwa Mwalimu Mkuu wa shule ya msingi Kilamba iliyopo mbagala Charambe iliyotolewa na TCB kwaajili yakufanya maboresho ya madarasa ya shule hiyo Hafla yakukabidhi msaada huo imefanyika hivi karibuni. kutoka kulia ni Meneja wa Mawasiliano na Uhusiano wa Tanzania Commercial Bank (TCB) Gloria Mutta, Diwani wa Kata ya Charambe Twahil Shabani,  pamoja na Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Temeke Betha Minga.

 

Meneja wa Benki ya Tanzania Commercial Bank (TCB) Tawi la Mbagala, Edward Mwoleka, (wa tatu kulia), akikabidhi sehemu ya msaada wa mifuko 150 ya Cement, kwa Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Temeke Betha Minga, iliyotolewa na TCB kwaajili yakufanyia maboresho ya madarasa ya shule ya msingi Kilamba iliyopo Charambe.  Hafla yakukabidhi msaada huo imefanyika hivi karibuni kutoka kulia ni Mwalimu Mkuu wa shule hiyo Leah  Masaba,  Diwani wa Kata ya Charambe Twahil Shabani,  pamoja na mjumbe wa shule. 

Meneja wa Mawasiliano na Uhusiano wa Tanzania Commercial Bank (TCB), Gloria Mutta, (wa tatu kulia), akikabidhi sehemu ya msaada wa mifuko 150 ya Cement,  kwa Mtendaji kata ya Charambe Theodora Malata iliyotolewa na TCB kwaajili yakufanyia maboresho ya madarasa ya shule ya msingi Kilamba iliyopo Charambe.  Hafla yakukabidhi msaada huo imefanyika hivi karibuni wengine pichani Meneja wa Benki ya Tanzania Commercial Bank (TCB) Tawi la Mbagala Edward Mwoleka,  pamoja na uongozi kutoka kamati ya shule.

 

Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Kilamba, Leah Masaba, akizungumza wakati wa hafla yakupokea msaada wa mifuko 150 ya Cement iliyotolewa na TCB kwaajili yakufanyia maboresho ya madarasa ya shule hiyo  

Mtendaji Kata ya Charambe Theodora Malata, akitoa shukrani kwa niaba ya shule ya Msingi Kilamba kwa uongozi wa TCB baada ya kupokea  msaada wa mifuko 150 ya Cement iliyotolewa na TCB kwaajili yakufanyia maboresho ya madarasa ya shule hiyo iliyopo Charambe jijini Dar es Salaam.

 

 

 

 

No comments:

Post a Comment

Pages