Ofisa Mkuu Masoko wa Kituo cha Uwekezaji, UTT AMIS, Martha Mashiku kulia, akiwagawia vinywaji wanafunzi wa Shule ya Mtoni Maalum, anayofundisha wanafunzi wenye ulemavu wa akili na Usonji wakati wa kusherehekea siku ya wanawake duniani.
Ofisa Mkuu Masoko wa Kituo cha uwekezaji, UTT AMIS, Martha Mashiku (kulia, akiwagawia vinywaji wanafunzi wa Shule ya Mtoni Maalum, anayofundisha wanafunzi wenye ulemavu wa akili na Usonji wakati wa kusherehekea siku ya wanawake duniani.
Wafanyakazi wa Kituo cha uwekezaji, UTT AMIS, wakifurai na wanafunzi wa Shule ya Mtoni Maalum, wakati walipoenda kuwapelekea msaada wa vitu mbalimbali.
No comments:
Post a Comment