July 14, 2023
Home
Unlabelled
RAIS WA ZANZIBAR ALHAJJ DK. HUSSEIN MWINYI AMEONGOZA WANANCHI WA ZANZIBAR KATIKA KISOMO CHA HITMA NA DUA KUMUOMBEA MAREHEMU MOHAMMED RAZA
RAIS WA ZANZIBAR ALHAJJ DK. HUSSEIN MWINYI AMEONGOZA WANANCHI WA ZANZIBAR KATIKA KISOMO CHA HITMA NA DUA KUMUOMBEA MAREHEMU MOHAMMED RAZA
/RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi
akijumuika na Familia ya Marehemu akiwemo Mtoto wa marehemu Raza, Hassan
Mohammed Raza na Wananchi wa mbalimbali wa Zanzibar katika Kisomo cha Hitma na Dua
ya kumuombea Marehemu Mohammed Hassanali Raza, kilichofanyika katika ukumbi wa
Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B”
Unguja Jijini Zanzibar leo 14-7-2023.(Picha na Ikulu).
Share This
About HABARI MSETO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.
No comments:
Post a Comment