HABARI MSETO (HEADER)


 


Breaking

August 18, 2026

Rais Samia Suluhu Hassan ampokea Rais Félix Tshisekedi


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) Mhe. Félix Antoine Tshisekedi Tshilombo baada ya kuwasili Ikulu Ndogo ya Zanzibar, tarehe 18 Agosti, 2026.

No comments:

Post a Comment

Pages