HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

October 26, 2014

Licha ya kuingia kwa mbwembwe Uwanjani Stand United yachapwa 3-0 na Yanga

Stand United wakiingia Uwanjani na 
Katapila tayari kucheza na Yanga, mwenye shati la kitenge hapo mlagoni ni Mbunge wa Shinyanga mjini Stephen Masele ambaye pia ni Naibu Waziri wa Nishati na Madini amekuwa bega kwa bega na timu ya Stand United.

No comments:

Post a Comment

Pages