Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt John Pombe Magufuli akiweka Sime
katika Mnara wa kumbukumbu ya Mashujaa alipoongoza Madhimisho ya Siku ya
Mashuja mjini Dodoma leo Julai 25, 2016.
Amiri Jeshi
Mkuu Rais Dk. John Pombe Magufuli akitoa heshima baada ya kuweka Ngao katika Mnara wa
kumbukumbu ya Mashujaa alipoongoza Madhimisho ya Siku ya Mashujaa mjini
Dodoma.
Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt John Pombe Magufuli
akiongea na wananchi baada ya kuweka silaha za jadi katika Mnara wa
kumbukumbu ya Mashujaa alipoongoza Madhimisho ya Siku ya Mashujaa mjini
Dodom.
Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt John Pombe Magufuli
akiongea na wananchi baada ya kuweka silaha za jadi katika Mnara wa
kumbukumbu ya Mashujaa alipoongoza Madhimisho ya Siku ya Mashujaa mjini
Dodom.
Rais Mstaafu wa awamu
ya Pili Alhaj Ali Hassan Mwinyi akiongea wakati wa Madhimisho ya Siku ya
Mashuja mjini Dodom.
Rais wa Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein akiongea wakati wa Madhimisho ya Siku ya Mashuja mjini Dodoma.
Amiri
Jeshi Mkuu Rais Dk. John Magufuli na Rais mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan
Mwinyi wakimpongeza Waziri Mkuu mstaafu John Malecela baada ya kuongea na
wananchi kwenye Maadhimisho ya Siku ya Mashujaa mjini Dodoma
No comments:
Post a Comment