HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

March 10, 2017

NSSF YAHAMASISHA WAKULIMA

Mkuu wa Wilaya ya Kiteto, Tumaini Magesa, akizungumza na viongozi wa Vyama vya Ushirika wa Mazao (AMCOS), wakati wa uhamasishaji wakulima wilayani humo. Mpango huo umeanzishwa na NSSF kwa ushirikiano wa Bodi ya Nafaka na Mazao Mchanganyiko (CPB) na Benki ya Azania. (Na Mpiga Picha Wetu).
Meneja wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Mkoa wa Dodoma, Rehema Chuma, akizungumza na viongozi wa Vyama vya Ushirika wa Mazao  (AMCOS), wakati uhamasishaji wa wakulima wilayani humo. Mpango huo umeanzishwa na NSSF kwa ushirikiano wa Bodi ya Nafaka na Mazao Mchanganyiko (CPB) na Benki ya Azania. 
Meneja wa NSSF Mkoa wa Manyara, Alexander Josephat, akizungumza na viongozi wa Vyama vya Ushirika wa Mazao (AMCOS), wakati wa uhamasishaji wa wakulima wilaya ya Kiteto. Mpango huo umeanzishwa na NSSF kwa ushirikiano wa Bodi ya Nafaka na Mazao Mchanganyiko (CPB) na Benki ya Azania. 

No comments:

Post a Comment

Pages