| Hapa Peter akiokolewa na Askari Polisi waliowahi kufika eneo la tukio asubuhi ya leo. |
| Hiki ndicho chumba kilichofanyikia mauaji ya Daniel katika ugomvi wa kugombea mwanamke. |
| Baadhi ya ndugu wa marehemu Daniel wakilia kwa uchungu baada ya kuuona mwili wa ndugu yao huyo. |
| Haikuwa kazi rahisi kwa askari na wanausalama wengine kuzuia hasira za wananchi. Pichani wanausalama hao wakijitahidi kumuokoa Peter asiendelee kupokea kipigo kutoka kwa wananchi hao. |
| Hapa Peter akiwa amelala chini baada ya kipigo kilaki kutoka kwa wananchi wenye hasira. |


No comments:
Post a Comment