HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

January 07, 2014

BALOZI WA TANZANIA NCHINI MAREKANI LIBERATA MULAMULA AKUTANA NA UONGOZI WA NSSF
 Balozi wa Tanzania nchini Marekani, Liberata Mulamula, akizungumza na uongozi wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Dar es Salaam, kuwataka NSSF kufungua Ofisi zitakazotoa huduma za Westadi nchini Marekani ambazo zitawasaidia watanzania waishio nje ya nchi kusafirisha mwili wa marehemu pamoja na kupata huduma ya matibabu kwa ndugu wanne waliopo nchini. Kushoto ni Kaimu Meneja Kiongozi na Huduma kwa Wateja wa NSSF, Theopista Muheta. 
Balozi wa Tanzania nchini Marekani, Liberata Mulamula (kulia), akizungumza na uongozi wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Dar es Salaam, kuwataka NSSF kufungua Ofisi zitakazotoa huduma za Westadi ambayo itawasaidia watanzania waishio nje ya nchi kusafirisha mwili wa marehemu ikiwemo huduma ya matibabu kwa ndugu wanne waliopo nchini. Kushoto niKaimu Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Chiku Matessa.   
 Ofisa Mwandamizi wa huduma za Westadi, Boniface Kanemba akifafanua jambo wakati wa mkutano huo. 
 Maofisa wa NSSF wakiwa katika mkutano huo.
 Ofisa Uhusiano Mwandamizi wa NSSF, Juma Kintu (kulia),   Ofisa wa NSSF, Neila Kambaya na  Halima Mgala.
Kaimu Mkurugenzi wa Uwekezaji wa NSSF, Abdalah Mseli akizungumza katika mkutano huo. 
 Balozi wa Tanzania nchini Marekani, Liberata Mulamula akiwa katika picha ya pamoja 
 Balozi wa Tanzania nchini Marekani, Liberata Mulamula akiwa katika picha ya pamoja na Maofisa wa Westadi. 
 Balozi wa Tanzania nchini Marekani, Liberata Mulamula (kushoto), akipokea zawadi kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Chiku Matessa.

No comments:

Post a Comment

Pages