HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

January 08, 2014

HAFLA YA UZINDUZI WA TAASISI YA MWAHARAKATI BIBI BINTI SAAD KATIKA PICHA
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) Rais Mstaafu wa Tanzania Mzee Ali Hassan Mwinyi,(kushoto) akiwa mlezi wa  Taasisi ya Mwanaharakati Bibi Siti Binti Saad akifuatiwa na Mwenyekiti wake Bibi Nasra  Mohamed Halal, wengine kulia Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi na Waziri wa Habari,Utalii,Utamaduni na Michezo  Said Ali Mbarouk,wakiwa katika Uzinduzi wa Taasisi hiyo iliyozinduliwa jana katika  ukumbi wa Salama Hall Bwawani Hote, ikiwa  ni sehemu ya shamra shamra za miaka 50 ya Mapinduzi Zanzibar, (Picha na Ramadhan Othman,Ikulu)



 Kikundi cha Taarab asilia cha Rahatu  zamani,kikitoa burudani yao wakati wa uzinduzi wa Taasisi ya Mwanaharakati Bibi Siti Bnti Saad,katika  ukumbi wa Salama Hall Bwawani Hotel Mjini Unguja jana,ikiwa ni sehemu ya shamra shamra za miaka 50 ya Mapinduzi Zanzibar,(pichani) Muharami  Mohamed,kitukuu akiimba moja ya nyimbo za Marehemu Bibi Siti Binti Saad, (Picha na Ramadhan Othman,Ikulu)
 Picha ya pamoja.

No comments:

Post a Comment

Pages