HABARI MSETO (HEADER)


June 30, 2014

BANDA LA PSPF LAVUTIA WENGI SABASABA
Wasanii wa kikundi cha sarakasi cha bendi ya Mjomba, wakiburudisha wananchi waliofika kwenye banda la PSPF, ili kujipatia maelezo ya huduma zitolewazo na Mfuko huo kwenye maonyesho ya 38 ya biashara ya kimataifa ya Dar wes Salaam.
Msanii gwiji wa Tanzania, Mrisho Mpoto, akifanya vitun vyake wakati wa kuhamasisha wananchi kujiunga na Mfuko wa Pensheni wa PSPF kwenye maonyesho ya 38 ya biashara ya kimataifa ya Dar es Salaam, kwenye viwanja vya Mwalimu Nyerere.
 Baadhi ya wananchi waliofika kwenye banda la Mfuko wa Pensheni wa PSPF, wakifuatilia maonyesho mbalimbali yanayoelezea huduma zitolewazo na Mfuko huo kwenye viwanja vya Mwalimu Nyerere wakati wa Maonyesho ya 38 ya biashara ya kimataifa ya Dar es Salaam.
 Wasanii wa kikundi cha sanaa za maonyesho cha Mjomba Band, wakifanya vitu vyao kwenye banda la Mfuko wa Pensheni wa PSPF, kwenye maonyesho ya 38 ya biashara ya kimataifa ya Dar es Salaam, kwenyeb viwanja vya Mwalimu Nyerere.
 Baadhi ya wananchi waliofika kwenye banda la Mfuko wa Pensheni wa PSPF, wakifuatilia maonyesho mbalimbali yanayoelezea huduma zitolewazo na Mfuko huo kwenye viwanja vya Mwalimu Nyerere wakati wa Maonyesho ya 38 ya biashara ya kimataifa ya Dar es Salaam Jumapili.

 Mkazi wa jiji la Dar es Salaam (Kushoto), akipatiwa ufafanuzi na Ofisa wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, kwenye banda la Mfuko huo wakati wa Maonyesho ya 38 ya biashara ya kimataifa kwenye viwanja vya Mwalimun Nyerere jijini Dar es Salaam.
Mkzi huyu wa Dar es Salaam, akipigwa picha na Ofisa wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, baada ya kujiunga na Mfuko huo kwenye banda la PSPF kwenye maonyesho ya 38 ya biashara ya kimataifa ya Dar es Salaam kwenye viwanja vya Mwalimu Nyerere.


Mkazi wa jiji la Dar es Salaam (Kushoto), akipatiwa ufafanuzi na Ofisa wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, kwenye Banda la Mfuko huo wakati wa Maonyesho ya 38 ya biashara ya kimataifa kwenye viwanja vya Mwalimun Nyerere jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Pages