Mwenyekiti wa CCM Taifa ,Rais Jakaya Mrisho Kikwete
akiongoza kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kwenye
ukumbi wa NEC, Makao Makuu ya CCM Dodoma. PICHA NA IKULU
Mwenyekiti
wa CCM Taifa ,Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiaga baada ya kuongoza kikao
cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kwenye ukumbi wa NEC,
Makao Makuu ya CCM Dodoma.
No comments:
Post a Comment