HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

November 09, 2014

Yanga yaifunga Mgambo 2-0

 Mshambuliaji wa Yanga, Andrey Coutinho akichuana na beki wa Mgambo Shooting, Bushiru Mohamed katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. (Picha na Francis Dande)
Golikipa wa Ruvu Shooting, Said Lubawa akiokoa moja ya hatari zilizoelekezwa langoni mwake wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja Taifa jijini Dar es Salaam.

Andrey Coutinho akitafuta mbinu za kumtoka beki wa Mgambo.
Mrisho Ngasa (kulia) akimtoka Bushiru Mohamed.
Simon Msuva akimiliki mpira mbele ya beki wa Mgambo shooting.
 Wachezaji wa Yanga wakishangilia goli lililofungwa na mshambuliaji wa timu hiyo, Simon Msuva wakati timu hiyo ilipopambana na Mgambo Shooting katika mchezo wa Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
 Mshambuliaji wa Yanga, Andrey Coutinho akimtoka, mchezaji wa Mgambo Shooting, Ally Idd katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Pages