HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

March 04, 2016

FREE MEDIA LTD YAICHAPA SAHARA MEDIA 2-0

 Kikosi cha timu ya Free Media Ltd (Tanzania Daima) kinachojiandaa na michuano ya NSSF Cup kikiwa katika picha pamoja kabla ya kupambana na timu ya Sahara Media Communications (Star TV) katika mchezo wa kirafiki uliofanyika kwenye uwanja wa Azania Shule ya Sekondari. Free Media ilishinda 2-0. (Picha na Francis Dande)
 Kikosi cha Sahara Media Communications.
 Mshambuliaji wa Sahara Media Communications, Khalid Mliomi (kushoto) akiwania mpra na beki wa Free Media, Jabir Johnson.

Beki wa timu ya Free Media  Ltd, Said Powa akimtoka mshambuliaji wa Sahara Communications Ltd, Khalid Mliomi.

Beki wa timu ya Free Media  Ltd, Said Powa akichuana na mshambuliaji wa Sahara Communications Ltd, Khalid Mliomi.

 Mfungaji wa bao la kwanza la Free Media, Mika Ndaba akimtoka beki wa Sahara Media Communications
Kiungo wa Free Media  Ltd, Suleiman Jumbe akimiliki mpira huku akizongwa na wachezaji wa timu ya Sahara Communications Ltd, katika mchezo wa kirafiki uliofanyika kwenye Uwanja wa Shule ya Sekondari ya Azania jijini Dar es Salaam juzi. Free Media ilishinda 2-0.
 Mshambuliaji wa Free Media Ltd, Habib Abdallah akichuana na Khalid Mliomi.

No comments:

Post a Comment

Pages