HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

March 03, 2016

NAIBU WAZIRI WA AFYA AZINDUA CHUMBA KIPYA CHA ICU HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dk. Hamis Kigwangalla akizungumza kabla ya kuzindua chumba kipya cha kulaza wagonjwa wanaohitaji uangalizi maalum (ICU) katika jengo la Mwaisela Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam leo. Katikati ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu Hospitali ya Taifa Muhimbili, Prof. Lawrence Museru. (Picha na Francis Dande)
Rais wa Shirika la Gastroenterology Foundation, Prof. Meihard Classen akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa chumba kipya cha kulaza wagonjwa wanaohitaji uangalizi maalum (ICU)
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dk. Hamis Kigwangalla akikata utepe kuashiria uzinduzi wa chumba kipya cha kulaza wagonjwa wanaohitaji uangalizi maalum (ICU) katika jengo la Mwaisela Hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Kulia ni Rais wa Shirika la Gastroenterology Foundation, Prof. Meihard Classen
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dk. Hamis Kigwangalla akizungumza mara baada ya kuzindua rasmi chumba kipya cha kulaza wagonjwa wanaohitaji uangalizi maalum (ICU) katika jengo la Mwaisela, Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam leo.

No comments:

Post a Comment

Pages