HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

May 20, 2016

WAKUU WA MIKOA WATEMBELEA HIFADHI YA TAIFA YA TARANGIRE

Wakuu wa Mikoa wakiwemo wakuu wa wilaya waliowakilisha mikoa yao wakiwa katika ofisi za Shirika za Hifadhi za Taifa nchini (TANAPA) muda mfupi kabla ya kuanza safari ya kimafunzo katika Hifadhi ya TAifa ya Tarangire.
Mkuu wa Mkoa wa Manyara aliyekuwa mwenyeji wa wakuu wa mikoa hao,Joel Bendera akitoa neno la ukaribisho kwa wageni hao baada ya kufika katika Hifadhi ya Tarangire.
Wakuu wa mikoa wakitizama wanyama.
Mnyama Ngiri katika Hifadhi ya Taifa ya Tarangire.
Tembo katika Hifadhi ya Taifa ya Tarangire.
Tumbili na mtoto wake mgongoni katika Hifadhi ya Taifa ya Tarangire.
Wakuu wa Mikoa na wakuu wa wilaya wakitizama eneo moja wapo la chanzo cha Mto Tarangire.
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu ,Anthony Mtaka (kushoto) akizungumza jambo na Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro,Saidi Mecky Sadick walipokuwa wakitizama sehemu ya chanzo cha Mto Tarangire.
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.

No comments:

Post a Comment

Pages