Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akizungumza wakati wa hafla fupi ya kusaini mkataba na Kampuni ya Bima ya MGen wa kuweza kufidia asilimia ishirini ya mkopo ambayo mteja wa benki hiyo atakopa kwa ajili ya kununua nyumba. (Picha na Loveness Bernard)
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei (kulia), akisaini mkataba na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Bima ya MGen Charles Sumbwe wa kuweza kufidia asilimia ishirini ya mkopo ambayo mteja wa benki hiyo atakopa kwa ajili ya kununua nyumba juzi jijini Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment