HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

November 24, 2016

RAUNDI YA PILI AZAM SPORTS FEDERATION CUP 2016/2017

Wakati Baruti ya Mara ikiifunga Ambassador ya Simiyu mabao 3-1 katika mchezo wa raundi ya pili  ya Kombe la Shirikisho la Azam (ASFC), ndani ya Uwanja wa  Halmashauri Kahama,  michezo mingine inatarajiwa kuendelea Novemba 27, mwaka huu kwenye viwanja mbalimbali kwa mujibu wa ratiba.

Hatua ya pili itakutanisha timu zlizopenya hatua ya kwanza iliyofanyika wikiendi iliyopita. Mechi zinazotarajiwa kucheza hatua inayofuata ni Tomato dhidi ya Jangwani katika mchezo utakaofanyika mkoani Njombe.

No comments:

Post a Comment

Pages