HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

August 27, 2017

YANGA YACHOMOA KWA LIPULI

 Mshambuliaji wa Yanga, Donald Ngoma akimtoka kipa wa Lipuli FC,  Agathon Mkwando.
Ibrahim Ajib akikabana na beki wa Lipuli. 
 Tshishimbi akiwa amedhibitiwa na Malimi Busungu wa Lipuli.
 Golikipa wa Lipuli FC ya Iringa, Agathon Mkwando, akiokoa mpira mbele ya mshambuliaji wa Yanga, Yusuf Mhilu.
Kiungo wa Yanga, Thaban Kamusoko, akimiliki mpira huku akizongwa na kiungo wa Lipuli FC, Asante Kwasi, katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.

Mashabiki wa Yanga.
Kiungo wa Yanga, Pappy Tshishimbi akiwatoka wachezaji wa Lipuli.
Golikipa wa Lipuli FC ya Iringa, Agathon Mkwando, akiokoa moja ya hatari langoni mwake katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam leo. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1. (Picha na Francis Dande).

No comments:

Post a Comment

Pages