HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

November 16, 2017

BILIONEA WA TAKUKURU AFIKISHWA MAHAKAMANI

 Aliyekuwa Mhasibu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru),Godfrey  Gugai, akielekea katika chumba cha Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam kusomewa mashtaka ya kuwa na mali zisizoendana na kipato, kugushi na kutakatisha fedha. Kushoto ni mtuhumiwa namba mbili, George Makaranga.
 Aliyekuwa Mhasibu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru),Godfrey  Gugai, akitoka katika chumba cha Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam baada ya kesi yake kuahirishwa.

No comments:

Post a Comment

Pages