HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

November 12, 2017

LIVE......harusi ya Mansour na Safina kutoka ukumbi wa Golden Memory Sinza jijini Dar es Salaam

 Bwana harusi, Mansour Yahaya akiwa amepozi na mke wake Safina Chamlomo baada ya kufunga ndoa na Tabata Segerea na kufuatiwa na sherehe kabambe inayoendelea katika ukumbi wa Golden Memory Sinza jijini Dar es Salaam Novemba 12-2017.
 Bwana harusi, Mansour Yahaya akiwa amepozi na mke wake Safina Chamlomo baada ya kufunga ndoa na Tabata Segerea na kufuatiwa na sherehe kabambe inayoendelea katika ukumbi wa Golden Memory Sinza jijini Dar es Salaam Novemba 12-2017.
Safina akiweka sawa suti ya bwana harusi, Mansour
 Bwana harusi akiangalia saa yake kabla ya kuingia ukumbini.
 Bi. harusi akiwa amepozi.
Matron.
Maharusi wakiwa wamepozi.
Bi. Harusi akiwa amepozi na matron wake
Picha ya pamoja.
 Bwana harusi akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wanakamati.

















No comments:

Post a Comment

Pages