HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

March 12, 2018

YANGA YAIPIGA STAND UNITED 3-1

 Mshambuliaji wa Yanga, Obrey Chirwa, akimtoka beki wa Stand United katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliofanyika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam leo. Yanga imeshinda 3-1.
 Mshambuliaji wa Yanga, Obrey Chirwa, akimtoka beki wa Stand United.
 Gadiel Michael akivaa viatu baada ya kupata huduma ya kwanza katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Stand United uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Wachezaji wa Yanga wakimpongeza Ibrahim Ajib (wa pili kushoto), baada ya kuifungia timu yake bao la pili katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Stand United katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

 Mshambuliaji wa Yanga, Obrey Chirwa, akishangilia bao pa tatu aliloifungia timu yake.
Ibrahim Ajib (kushoto), akipongezana na Obrey Chirwa baada ya kuifungia timu yake bao la tatu.

Chirwa akishangilia kwa staili ya aina yake.

No comments:

Post a Comment

Pages