HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

April 04, 2018

TWIGA STARS YAJIWEKA NJIA PANDA,YATOKA SARE 3-3 NA SHEPOLOPOLO

  Mshambuliaji wa Timu ya Taifa ya Wanawake ya Tanzania ‘Twiga Stars’, Mwanahamis Omari, akiwatoka mabeki wa  timu ya Taifa ya Zambia 'Chepolopolo' katika mchezo wa kuwania kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. (Picha na Said Powa).
 Wachezaji wa timu ya Taifa ya Wanawake Tanzania 'Twiga Starsá, wakishangilia bao la pili katika mchezo wa kuwania kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika dhidi ya timu ya Taifa ya Zambia 'Chepolopolo'
Golikipa wa Zambia akijaribu kuokoa moja ya hatari langoni mwake.
Mshambuliaji wa Timu ya Taifa ya Wanawake ya Tanzania ‘Twiga Stars’, Mwanahamis Omari, akichuana na beki wa Zambia.

No comments:

Post a Comment

Pages