HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

April 13, 2019

UZINDUZI WA MJI WA SERIKALI DODOMA

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli, akiteta jambo na Waziri  Mkuu Kassim Majaliwa, kwenye uzinduzi wa mji wa Serikali eneo la Mtumba, jijini Dodoma Aprili 13, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
 Waziri  Mkuu Kassim Majaliwa, akitoa taarifa ya Serikali kuhamia Dodom, kwenye uzinduzi wa mji wa Serikali eneo la Mtumba, jijini Dodoma Aprili 13, 2019. Mgeni rasmi alikua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

No comments:

Post a Comment

Pages