HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

May 29, 2019

NAIBU SPIKA AONGOZA KIKAO CHA BODI YA LSP

 Wajumbe wa Bodi ya Mradi wa Kulijengea Bunge Uwezo Awamu ya Pili (LSP II) wakiwa katika kikao cha Bodi kilichofanyika Katika Ukumbi wa Spika Jijini Dodoma. kikao hicho kiliongozwa na Naibu Spika, Mhe. Dkt.Tulia Ackoson na Kaimu Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Ndugu Verity Nyagah.
Wajumbe wa Bodi ya Mradi wa Kulijengea Bunge Uwezo Awamu ya Pili (LSP II) wakiwa katika kikao cha Bodi kilichofanyika Katika Ukumbi wa Spika Jijini Dodoma. kikao hicho kiliongozwa na Naibu Spika, Mhe. Dkt.Tulia Ackoson na Kaimu Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Ndugu Verity Nyagah
  Kaimu Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Ndugu Verity Nyagah kizungumza  katika kikao cha Bodi ya Mradi wa Kulijengea Bunge Uwezo Awamu ya Pili (LSP II)  kilichofanyika Katika Ukumbi wa Spika Jijini Dodoma, kulia ni Naibu Spika, Mhe. Dkt.Tulia Ackoson

No comments:

Post a Comment

Pages