HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

May 03, 2019

TCCIA yatoa Salamu za Rambirambi kwa Familia ya Dk. Regnald Mengi

 Kaimu Rais wa Chemba ya  Wafanyabiashara wenye Viwanda na Kilimo Tanzania (TCCIA), Octavian Mshiu.
Kaimu Rais wa Chemba ya  Wafanyabiashara wenye Viwanda na Kilimo Tanzania (TCCIA), Octavian Mshiu, akiwa amepozi na Dk. Reginald Mengi.
Na Nicolas Gilliard
KAIMU Rais wa chemba ya  wafanyabiashara wenye viwanda na Kilimo Tanzania (TCCIA), Octavian Mshiu, Bodi, Wanachama na wafanyabiashara wanapenda kuungana na  wanachi wote wa Tanzania kutoa mkono wa pole kwa familia ya marehemu Dk. Reginald Abraham Mengi ndugu jamaa na marafiki, mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.

Aidha Mshiu amesema atamkumbuka Dr.Mengi daima kutokana na mchango wake katika sekta ya biashara na  jamii ambako akusita kutoa msaada palea walipoitaji.
Amesema kuwa Dr.Mengi ameacha pengo kubwa sana kwa  CAN, I MUST, I WILL-THE SPIRIT OF SUCCESS kitabu kinachohusu jinsi alivyofanikiwa kimaisha na historia ya maisha yake tokea akiwa mtoto mdogo akichunga mbuzi kijijini kwake kule Machame.

No comments:

Post a Comment

Pages