Rais wa
Jamhuri ya Muungano waTanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwasili
katika viwanja vya Barafu Mbarali mkoani Mbeya kwa ajili ya kuwahutubia
wanachi.
Sehemu ya
wananchi waliokusanyika katika uwanja wa Barafu Mbarali kumsikiliza Rais wa
Jamhuri ya Muungano waTanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli alipokuwa
akiwahutubia.
Picha namba 8. Barabara ya
TANZAM highway sehemu ya Igawa-Mbeya
eneo la Igawa ikiwa katika mandhari ya kupendeza mara baada ya ukarabati mkubwa
wa Barabara hiyo. PICHA NA IKULU.
No comments:
Post a Comment