HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

October 05, 2019

NGORONGORO HEROES YAITWANGA KENYA 1-0 NA KUTWAA KOMBE LA CHALENJI

 Wachezaji wa Ngorongoro Heroes wakishangilia baada ya kuifunga Kenya 1-0 katika mchezo wa fainali ya michuano ya Chalenji U-20  jijini Jinja Uganda. (Picha na TFF).
Mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Vijana chini ya miaka 20 ‘Ngorongoro Heroes’, Kelvin John, akiwa ameshikilia tuzo mbili  za Mchezaji Bora na Mfungaji Bora alizotwaa katika michuano ya Chalenji iliyofikia tamati leo jijini Jinja, Uganda. Kelvin aliisaidia Ngorongoro Heroes kutwaa ubingwa wa michuano hiyo kwa kuifunga Kenya 1-0.









No comments:

Post a Comment

Pages