HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

September 14, 2020

MKUTANO WA KAMPENI ZA CCM JIMBO LA MASASI MJINI

                   
Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana Viongozi na Wanachama wa Chama cha Mapinduzi na Wananchi Jimbo la Masasi Mjini alipowasili katika uwanja wa Sabasaba Wilayani Masasi kwa ajili ya kuhutubia Mkutano wa Kampeni za Chama cha Mapinduzi CCM leo Septemba 13,2020. 
Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi CCM na Wananchi wa Jimbo la Masasi Mjini wakimsikiliza Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, alipokuwa akiwahutubia kwenye Mkutano wa Kampeni za Chama cha Mapinduzi CCM katika Uwanja wa Sabasaba Masasi Mkoani Mtwara leo Septemba 13,2020. 

Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akihutubia  Wanachama wa Chama cha Mapinduzi na Wananchi Jimbo la Masasi Mjini mkutano wa kampeni za Chama cha Mapinduzi CCM katika Uwanja wa Sabasaba Wilayani Masasi Mkoani Mtwara leo Septemba 13,2020.  

Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Mtoto chipukizi wa Usanii wa Nyimbo za kizazi kipya Wilayani Masasi Mkoani Mtwara Shamsa Amani (3) baada ya kutumbuiza kwenye Mkutano wa Kampeni za Chama cha Mapinduzi CCM katika Uwanja wa Sabasaba Wilayani Masasi Mkoani Mtwara leo Septemba 13,2020. 
Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiagana na  Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi CCM na Wananchi wa Jimbo la Masasi Mjini baada ya kuwahutubia mkutano wa kampeni za Chama cha Mapinduzi CCM katika Uwanja wa Sabasaba Wilayani Masasi Mkoani Mtwara leo Septemba 13,2020.   (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais).       

No comments:

Post a Comment

Pages