HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

November 18, 2021

TEHAMA imeleta matokeo chanya katika shughuli mbalimbali za Mahakama; Prof. Kabudi

Waziri wa Katiba na Sheria Profesa Palamagamba Kabudi, akizungumza na Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo Zamaradi Kawawa, kabla ya kuanza kuzungumza na waandishi wa habari kuelezea wizara hiyo ilivyotekeleza majukumu ya wananchi wa Tanzania Tangu kujipatia uhuru wake miaka 60 iliyopita. Mazungumzo hayo yalifanyika jijini Dodoma leo, kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Profesa Sifuni Mchome. Picha na Deus Mhagale.

Waziri wa Katiba na Sheria Profesa Palamagamba Kabudi, akizungumza na waandishi wa habari katika maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania Bara.


 

Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Profesa Sifuni Mchome, akizungumza na Mkurugenzi wa Idara ya habari Maelezo Zamaradi Kawawa katikati ni Waziri wa Wizara hiyo Profesa Palamagamba Kabudi.

Waziri wa Katiba na Sheria Profesa Palamagamba Kabudi, (kulia), akiondoka katika ukumbi wa mikutano baada ya kuzungumza na wanahabari.

No comments:

Post a Comment

Pages