HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

February 18, 2022

NAIBU KATIBU MKUU DKT. POSSI AWATAKA DMI KUJITANGAZA

 


Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi (Uchukuzi), Dkt. Ally Possi, akimsikiliza Mhandisi Daisim Mlay, kuhusu utendaji kazi wa mashine zilizopo ndani ya meli, wakati Naibu Katibu Mkuu huyo alipotembelea chuo hicho jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Pages