HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

February 20, 2022

Rais Samia awasili nchini akitokea Ufaransa na Ubelgiji


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Makamu wa Rais Mhe. Philip Isdor Mpango pamoja na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) Jijini Dar es Salaam leo tarehe 20 Februari, 2022.

No comments:

Post a Comment

Pages