HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

March 07, 2022

Ngome ya Wanawake ACT Wazalendo yaadhimisha Siku ya Wanawake Duniani

Mke wa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar Mama Zainab  Kombo akimkabidhi Mwalimu Mkuu wa Shule ya Fidel Castro Chakechake Pemba taulo za kike kwa niaba ya Ngome ya Wanawake ACT Wazalendo ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani.

Mke wa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo ambaye pia ni Makamu wa kwanza wa Rais Zanzibar Mama Zainab Kombo akishirikiana na viongozi wa Ngome ya Wanawake wakigawa nguo kwa wanachi wasiojiweza huko Jimbo la Wingwi Mkoa wa Kaskazini Pemba ikiwa ni katika kuadhimisha Siku ya Wanawake kwa chama hicho.

No comments:

Post a Comment

Pages