HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

June 14, 2022

Rais Samia ashuhudia uwekaji Saini Mikataba ya makubaliano ya Ushirikiano katika Sekta mbalimbali kati ya Tanzania na Oman

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimshuhudia Waziri wa Nishati January Makamba wakati akiweka Saini Mkataba wa Makubaliano kwenye masuala ya Nishati (Oil and Gas) kati ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Oman kupitia Wizara ya Nishati na Madini (Sekta ya Madini) ya nchi hiyo katika hafla iliyofanyika Al Bustan, Muscat nchini Oman tarehe 13 Juni, 2022.

No comments:

Post a Comment

Pages