Mchezaji wa Kimataifa kutoka Uganda anayekipiga Simba SC Taddeo Lwanga (28) ameonesha picha mbalimbali za mjengo wake anao umiliki katika jiji la Entebbe Uganda.
Mchezaji huyo ameonesha picha hizo kwa lengo la kuwakumbusha vijana wote kwamba yeyote mwenye bidii anayo nafasi ya kutimiza ndoto zake siku moja na haijalishi itachukua muda gani kuzifikia.
Nyumba hii ya Lwanga ambaye ni Baba wa Watoto wawili ni ya gorofa moja na inapatikana Kajjansi barabara ya kuelekea Entebbe.
“Ni hisia za furaha na zisizoelezeka kumiliki nyumba hii” alisema Lwanga.
July 21, 2022
Home
Unlabelled
MJENGO WA TADDEO LWANGA USIPIME
MJENGO WA TADDEO LWANGA USIPIME
Share This
About HABARI MSETO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.
No comments:
Post a Comment