HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

July 22, 2022

TANGA WASHAURI KASWIDA ITUMIKE KUHAMASISHA CHANJO YA UVIKO 19

Baadhi ya viongozi wa Dini katika jiji la Tanga wameshauri kutumika kwa tamaduni za maeneo mbalimbali ikiwemo Kaswida katika kuhamasisha chanjo ya UVIKO 19 .

Wakiwasilisha maoni yao wakati wa kikao kilichowakutanisha viongozi hao kujadili mambo mbali ikiwemo mikakati ya uhamasishaji na utaoji wa elimu kuhusu chanjo ya UVIKO 19.


IDADI YA WALIOCHANJA YAFIKIA MIL 11, TANGA BADO SANA.

ZAIDI ya watu Milioni  11 kati ya Milioni  30.7 wamepatiwa Dozi kamili ya Chanjo ya UVIKO 19 huku Serikali ikongeza vituo vya utoaji chanjo hadi kufikia 7000 ndani ya miezi mitano kutoka vituo 550 vilivyokuwepo awali kitaifa

Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ameyasema hayo mkoani Tanga wakati akifungua kikao cha viongozi wa Dini uliowashirikisha pia wadau wengine maendeleo kujadili mambo mbalimbali ikiwemo mikakati ya uhamasishaji na elimu kuhsuu chanjo ya UVIKO 19 .

No comments:

Post a Comment

Pages