RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi Cheti cha Usajili wa Chama Cha Wanasheria wa Mabunge ya Afrika Rais wa Chama hicho, Mussa Kombo Bakari, wakati wa hafla ya ufunguzi wa Mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Madinat Al Bahr Mbweni Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar leo 1-11-2022. (Picha na Ikulu).
WASHIRIKI wa Mkutano wa Sita wa Chama cha Wanasheria wa Mabunge ya Afrika wakifuatilia hutuba ya Ufunguzi wa mkutano huo, wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kuufungua mkutano huo uliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Madinat Al Bahr Mbweni Unguja Wilaya ya Magharibi “B” Jijini Zanzibar leo 1-11-2022. (Picha na Ikulu).November 01, 2022
Home
Unlabelled
RAIS WA ZANZIBAR MHE DK. Hussein ALI MWINYI AFUNGUA MKUTANO WA SITA WA CHAMA CHA WANASHERIA WA MABUNGE YA AFRIKA UKUMBI WA HOTELI YA MADINAT AL BAHR MBWENI ZANZIBAR
RAIS WA ZANZIBAR MHE DK. Hussein ALI MWINYI AFUNGUA MKUTANO WA SITA WA CHAMA CHA WANASHERIA WA MABUNGE YA AFRIKA UKUMBI WA HOTELI YA MADINAT AL BAHR MBWENI ZANZIBAR
Share This

About HABARI MSETO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.
No comments:
Post a Comment