Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Mobhare Matinyi, akiwaongoza wananchi wa Kata ya Mbagala Dar es Salaam kufanya usafi leo asubuhi Julai 29, 2023 .
Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Mobhare Matinyi (katikati waliokaa), akiwa katika picha ya kumbukumbu na wananchi mara baada ya kufanya usafi katika Kata ya Mbagala wilayani humo mkoani Dar es Salaam, Zoezi hilo lilifanyika leo asubuhi Julai 29, 2023. (Picha kwa hisani ya Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali cha Halmashauri ya Manispaa ya Temeke).
No comments:
Post a Comment