Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akikata utepe pamoja
na Rais wa Jamhuri ya Angola Mheshimiwa João Manuel Gonçalves Lourenço kama ishara ya
uzinduzi wa Hospitali Kuu ya Rufaa ya Rais Julius Nyerere (Hospital
dos Queimados Presidente Julius Nyerere) iliyopo Kilamba, jijini Luanda,
Angola, tarehe 01 Agosti, 2026. Kulia ni Mama Maria Nyerere, Mjane wa Baba wa
Taifa akishuhudia tukio hilo. Hospitali hiyo imepewa jina la Baba wa
Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, kama heshima na ishara ya kutambua
mchango wake katika harakati za ukombozi wa Bara la Afrika, hususan nchi za Kusini
mwa Afrika, ikiwemo Angola.
August 03, 2026
Home
Unlabelled
Rais Samia na Rais Lourenço wa Angola wazindua Hospitali Kuu ya Rufaa ya Julius Nyerere, Jijini Luanda, nchini Angola
Rais Samia na Rais Lourenço wa Angola wazindua Hospitali Kuu ya Rufaa ya Julius Nyerere, Jijini Luanda, nchini Angola
Share This
About HABARI MSETO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.





No comments:
Post a Comment