HABARI MSETO (HEADER)


 


Breaking

August 22, 2026

SIMBA SC MECHI TATU KADI NYEKUNDU 3

 

Mnyama Simba SC wamekamilisha michezo matatu ya mwanzo wa msimu ambayo amechezo yote ugenini akichukua pointi zote 9 huku akiandika rekodi ya kupata kadi nyekundu tatu katika michezo yote mitatu.

Simba imewakanyaga Singida Black Stars kwa mabao (1-2) kwenye Dimba la Airtel mjini Singida, mabao ya Clatous Chama na Rushine De Reuck alifunga kwa mkwaju wa penati, huku bao la Singida likiwekwa kimiani na Shekhan.

Simba wamefikisha pointi 9 katika michezo mitatu waliyocheza kanda ya ziwa na kanda ya kati dhidi ya Kagera Sugar, Pamba Jiji FC na Singida Black Stars.

No comments:

Post a Comment

Pages