HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

July 19, 2013

PNC AJIPANGA KUMFUNIKA DIAMOND


Na Elizabeth John
Akizungumza jijini Dar es Salaam, PNC alisema, ukimya wake haukuwa bure, bali alikuwa anajipanga vema na ujio wake mpya umekuja huku Diamond akionekana kuliteka anga la muziki huo na kumtambia kuwa muda si mrefu atamfunika.

"Nilikaa kimya muda mrefu baada ya kutamba na ngoma yangu ya 'Mbona' niliyomshirikisha Mr. Blue na kipindi chote nilikuwa najaribu kuangalia jinsi nitakavyoliteka anga la muziki huu na ujio wangu mpya," alisema PNC.
Akizungumza jijini Dar es Salaam, PNC alisema, ukimya wake haukuwa bure, bali alikuwa anajipanga vema na ujio wake mpya umekuja huku Diamond akionekana kuliteka anga la muziki huo na kumtambia kuwa muda si mrefu atamfunika.
"Nilikaa kimya muda mrefu baada ya kutamba na ngoma yangu ya 'Mbona' niliyomshirikisha Mr. Blue na kipindi chote nilikuwa najaribu kuangalia jinsi nitakavyoliteka anga la muziki huu na ujio wangu mpya," alisema PNC.
"Nilikaa kimya muda mrefu baada ya kutamba na ngoma yangu ya 'Mbona' niliyomshirikisha Mr. Blue na kipindi chote nilikuwa najaribu kuangalia jinsi nitakavyoliteka anga la muziki huu na ujio wangu mpya," alisema PNC.
PNC aliwaomba mashabiki wake wakae mkao wa kula kwaajili ya kuip[okea kazi hiyo ambayo anasema itafanya vizuri na kuwashika mashabiki wengi,” alisema.

BAADA ya kimya cha muda mrefu, msanii wa muziki wa kizazi kipya, Pancras Ndaki 'PNC', ameibuka na kudai amerudi kufanya mageuzi makubwa katika muziki huo kwa kuachia kazi yake mpya inayokwenda kwa jina la 'Wewe'.

“Kwani Diamond anatumi nini kuimba mpaka mimi nishindwe kumfunika katika fani hii, najipanga kuja kivingine mashabiki wangu wakae mkao wa kula,” alisema.


No comments:

Post a Comment

Pages