HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

April 18, 2014

TIMU YA MAFUNZO YA ZANZIBAR YATUA DAR KWA AJILI YA TAMASHA LA PASAKA
 Baadhi ya wachezaji wa timu ya mafunzo ya Zanzibar wakiwasili kwenye Bandari ya Dar es Salaam kwa ajili ya michezo ya Pasaka.
 Baadhi ya wachezaji wa timu ya mafunzo ya Zanzibar wakiwasili kwenye Bandari ya Dar es Salaam kwa ajili ya michezo ya Pasaka.
Meneja wa Kinywaji cha Grand Malt, Consolata Adam akizungumza na waandishi wa habari wakati wa mapokezi ya timu ya Mafunzo ya Zanzibar katika Bandari ya Dar es Salaam. Mafunzo wapo jijini kwa ajili ya michezo ya tamasha la Pasaka.
 Wachezaji wakiwasili.
 Baadhi ya wachezaji wa Mafunzo baada ya kuwasili.
 Wachezaji wa Mafunzo wakiwa na viongozi wao.
Wachezaji wa Mafunzo wakiwasili.
Hata wanamuziki  kutoka Mafunzo Sports Club waliwasili kwa ajili ya tamasha la Pasaka.
Wachezaji wa Mafunzo wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa TBL.
 Meneja wa Kinywaji cha Grand Malt, Consolata Adam (kushoto), akimkabidhi sehemu ya vinywaji vya Grand Malt, Mwenyekiti wa Mafunzo Sports Club, Hamis Ali  Ibrahimu baada ya kuwasili katika Bandari ya Dar es Salaam kwa ajili ya michezo ya Pasaka.
Brass Band ikitumbuiza.

No comments:

Post a Comment

Pages