HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

November 27, 2014

AJALI YA GARI YAUA 14 MKOANI TANGA

Baadhi ya watu wakishuhudia ajali ya basi aina ya Costal lenye namba za usajili T410 BJD lililokuwa likifanya safari zake kati ya Tanga na Lushoto likiwa limepinduka baada ya kugongana na Scania lenye namba namba T645 ABJ katika kijiji cha mkanyageni wilayani Muheza na kusababisha vifo vya watu 14. (Picha na Elizabeth Kilindi)

Mganga Mfawidhi wa hospitali ya teule wilayani Muheza, Rajabu Malamhiyo (kushoto) akiangalia hali ya majeruhi ambaye ni dereva wa Scania iliyopata ajali yenye namba za usajili T645 ABJ Benjamini Abeid.

No comments:

Post a Comment

Pages