HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

June 02, 2015

HUDUMA YA GOOD NEWS FOR ALL MINISTRY YAOMBA KUWEPO MJADALA WA WAZI KUJADILI TATIZO LA ULEVI NCHINI


  Askofu Charles Gadi wa Huduma ya Good News for All Ministry (kulia), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kuhusu kuongezeka kwa joto duniani na athari zake pamoja na tatizo la ulevi nchini ambapo kanisa hilo limeshauri kuwepo na mjadala wa wazi kujadili jambo hilo. Kutoka kushoto ni Mchungaji, Martin Ndaki na Katibu wa huduma hiyo, Palemo Massawe.
 Askofu Charles Gadi wa Huduma ya Good News for All Ministry (katikati), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kuhusu kuongezeka kwa joto duniani na athari zake pamoja na tatizo la ulevi nchini ambapo kanisa hilo limeshauri kuwepo na mjadala wa wazi kujadili jambo hilo. Kutoka kushoto ni Mchungaji Martin Ndaki, Katibu wa huduma hiyo, Palemo Massawe, Mchungaji Fabian Msimbe, Mchungaji Leons Kajuna, Mchungaji Denis Kumbiiho na Mchungaji James Manyama.
Wanahabari wakichukua taarifa hiyo.

No comments:

Post a Comment

Pages