HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

June 03, 2015

MAONYESHO YA TAASISI ZA KIFEDHA YA PESA EXPO KUFANYIKA MWEZI SEPTEMBA

1 (2)
Raymond Mhenge Mtaalam wa Biashara za Kimataifa wa Kampuni ya PESAEXPO akizungumza na waandishi wa habari kwenye hoteli ya Kebbys Mwenge jijini Dar es salaam wakati alipoelezea kuhusu maonyesho hayo yanayotarajiwa kuanza mwanzoni mwa mwezi wa tisa jijini Dar es salaam, kutoka kulia ni Sunday Mashele Mkurugenzi Mwenza Kampuni ya Exclusive Media na Godie Gervas Mkurugenzi wa Exclusive Media
1
Godie Mashelle Mkurugenzi wa Exclusive Media akisisitiza jambo katika mkutano huo kutoka kulia ni Eric Fussi Mkurugenzi Mwenza Qutub Grobal Limited na Sunday Mashele Mkurugenzi Mwenza Kampuni ya Exclusive Media.

No comments:

Post a Comment

Pages