HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

November 29, 2016

BENKI YA CRDB YAKANUSHA TAARIFA ZA KUFUNGWA KWA MATAWI YAKE


 Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akifafanua jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, wakati akikanusha taarifa zilizosambazwa kwenye mitandao ya kijamii kuhusiana na benki hiyo kufunga baadhi ya matawi yake. (Picha na Francis Dande)
 Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akifafanua jambo.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akifafanua jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, wakati akikanusha taarifa zilizosambazwa kwenye mitandao ya kijamii kuhusiana na benki hiyo kufunga baadhi ya matawi yake. Kulia ni Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti wa Benki hiyo, Tully Mwambapa na Mkurugenzi wa Utawala, Beatus Segeja.  

No comments:

Post a Comment

Pages