HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

August 04, 2017

MAOMBI YA DHAMANA YA MANJI YAAHIRISHWA

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Maji akitoka Mahakamani Kuu Kanda ya Dar es Salaam leo baada ya maombi yake ya kutaka apewe dhamana kuahirishwa hadi Agosti 7. Manji anakabiliwa na shtaka la kukutwa na mihuri mbalimbali ya JWZ. (Picha na Said Powa).
 Aliyekuwa Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji, akiwa katika basi la Magereza wakati akitoka katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam.
 Manji akitoka mahakamani.
 Aliyekuwa Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji akitoka mahakamani leo. 
 Yusuf  Manji akitoka Mahakamani.
Yusuf Manji akipanda basi la Magereza.

No comments:

Post a Comment

Pages